Maombi ya Uhamisho wa Wanafunzi Wanaoendelea


UTANGULIZI


Tafadhali soma kwa umakini taarifa na mahitaji muhimu ya kuhama kabla hujaanza kufanya maombi ya uhamisho.

Tarehe ya mwisho ya kuomba uhamisho ni 25-04-2024

Masharti na Sifa kwa Waombaji,

Taarifa kwa Waombaji:
  • Mwanafunzi anashauriwa kuhakiki na kufahamu taarifa za msingi za chuo anachotaka kuhamia kama vile, mahali chuo kilipo, hali ya hewa, ada na michango mingine. Kwa taarifa zaidi awasiliane na chuo anachotaka kuhamia.
  • Uhamisho unawahusu wanafunzi waliopo katika mwaka wa masomo 2024/2025 kwa mkupuo wa MACHI na 2023/2024 kwa mkupuo wa SEPTEMBA, ili kuhakiki kama upo katika mwaka husika bofya Hapa
  • Mwanafunzi ataruhusiwa kuhama chuo kimoja kwenda kingine chenye kozi inayofanana
  • Mwanafunzi ambaye hajafaulu au kuwa na mtihani wa marudio hahusiki na uhamisho huu
  • Uhamisho utakubalika pale tu chuo unachotoka na unachotaka kuhamia vimeridhia
  • Tarehe ya mwisho ya kuomba uhamisho ni 25-04-2024
Malipo

  • Gharama za mchakato wa uhamisho ni Tsh 10,000/=, Malipo yaliyopokelewa hayatarejeshwa.

  • Kuendelea na mchakato wa maombi, tafadhali bofya hapa Endelea


Hatua 1: Ingiza taarifa zako